Rukia maudhui
Ezekieli 23:1-4

Mfano wa Oholah na Oholibah

Ezekieli 23:1-4
1
Neno la Bwana likanijia kusema:
2
“Mwanadamu, walikuwepo wanawake wawili, binti wa mama mmoja.
3
Wakawa makahaba huko Misri, wakajitia kwenye ukahaba tangu ujana wao. Katika nchi ile vifua vyao vya ubikira vikakumbatiwa huko na wakapoteza ubikira wao.
4
Mkubwa aliitwa Ohola na mdogo wake Oholiba. Walikuwa wangu nao wakazaa wavulana na msichana. Ohola ni Samaria, Oholiba ni Yerusalemu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options