Rukia maudhui
Kutoka 39:30-31

Bamba la Dhahabu la Taji

Kutoka 39:30-31
30
Kisha akatengeneza lile bamba, taji takatifu, kwa dhahabu safi na kuchora juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: Mtakatifu kwa Bwana.
31
Kisha wakalifunga kwa kamba ya rangi ya buluu ili kulishikamanisha na kile kilemba kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options