Skip to content
Kutoka 39:27-29

Kutoka 39:27-29

27
Pia akamtengenezea Aroni na wanawe makoti ya kitani safi, kazi ya mfumaji,
28
na kilemba cha kitani safi, tepe za kichwani za kitani, na nguo za ndani za kitani iliyosokotwa vizuri.
29
Mshipi ulikuwa wa kitani iliyosokotwa vizuri ya rangi ya buluu, na zambarau, na nyekundu, kazi ya mtarizi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options