Rukia maudhui
Kutoka 24:1-2

Mwaliko wa Kwenda Mlimani

Kutoka 24:1-2
1
Kisha Mungu akamwambia Mose, “Njooni huku juu kwa Bwana, wewe na Aroni, Nadabu na Abihu, pamoja na wazee sabini wa Israeli. Mniabudu kwa mbali,
2
lakini Mose peke yake ndiye atakayemkaribia Bwana; wengine wasije karibu. Nao watu wasije wakapanda pamoja naye.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options