Skip to content
Kutoka 12:43-47

Kutoka 12:43-47

43
Bwana akamwambia Mose na Aroni, “Haya ndiyo masharti kwa ajili ya Pasaka: “Mgeni hataruhusiwa kula Pasaka.
44
Mtumwa yeyote ambaye mmemnunua aweza kuila kama mmemtahiri,
45
lakini kibarua yeyote au msafiri haruhusiwi kula.
46
“Sharti iliwe ndani ya nyumba; msichukue nyama yoyote nje ya nyumba hiyo. Msiuvunje mfupa wowote.
47
Jumuiya yote ya Israeli ni lazima waiadhimishe Pasaka hiyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options