Přejít k obsahu
Kutoka 12:43-47

Kutoka 12:43-47

43
Bwana akamwambia Mose na Aroni, “Haya ndiyo masharti kwa ajili ya Pasaka: “Mgeni hataruhusiwa kula Pasaka.
44
Mtumwa yeyote ambaye mmemnunua aweza kuila kama mmemtahiri,
45
lakini kibarua yeyote au msafiri haruhusiwi kula.
46
“Sharti iliwe ndani ya nyumba; msichukue nyama yoyote nje ya nyumba hiyo. Msiuvunje mfupa wowote.
47
Jumuiya yote ya Israeli ni lazima waiadhimishe Pasaka hiyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options