Rukia maudhui
Kutoka 11:9-10

Kusudi la Mungu katika Kuufanya Moyo wa Farao Kuwa Mgumu

Kutoka 11:9-10
9
Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.”
10
Mose na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele ya Farao, lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke katika nchi yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options