Rukia maudhui
Esta 8:1-2

Mali ya Hamani Apewa Esta; Mordekai Aiinuliwa

Esta 8:1-2
1
Siku ile ile Mfalme Ahasuero akampa Malkia Esta shamba la Hamani, adui wa Wayahudi. Naye Mordekai akaja mbele ya mfalme, kwa kuwa Esta alikuwa amesema jinsi anavyohusiana naye.
2
Mfalme akaivua pete yake ya muhuri, ambayo alikuwa amemnyangʼanya Hamani, akampa Mordekai, naye Esta akamweka Mordekai juu ya shamba la Hamani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options