Skip to content
Wakolosai 4:2-3

Wakolosai 4:2-3

2
Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru.
3
Pia tuombeeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango wa kunena, ili tupate kuitangaza siri ya Kristo, ambayo kwa ajili yake pia mimi nimefungwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options