Wakolosai 3:18-21
18
Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana.
19
Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe na uchungu dhidi yao.
20
Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hivi ndivyo inavyompendeza Bwana.
21
Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.
Settings