Rukia maudhui
Matendo 10:34-36

Matendo 10:34-36

34
Ndipo Petro akafungua kinywa chake akasema, “Mungu hana upendeleo,
35
Lakini katika kila taifa, kila mtu amchaye na kutenda yaliyo haki hukubaliwa naye.
36
Ninyi mnajua ule ujumbe uliotumwa kwa Israeli, ukitangaza habari njema za amani kwa Yesu Kristo. Yeye ni Bwana wa wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options