Rukia maudhui
2 Wathesalonike 2:16-17

Sala ya Mwisho ya Faraja na Kusimama Imara

2 Wathesalonike 2:16-17
16
Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema,
17
awafariji mioyo yenu na kuwaimarisha katika kila neno na tendo jema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options