Rukia maudhui
2 Wathesalonike 1:11-12

Sala ya Kustahili na Kutukuzwa

2 Wathesalonike 1:11-12
11
Kwa sababu hii, tunawaombea ninyi bila kukoma, ili Mungu apate kuwahesabu kuwa mnastahili wito wake na kwamba kwa uwezo wake apate kutimiza kila kusudi lenu jema na kila tendo linaloongozwa na imani yenu.
12
Tunaomba hivi ili Jina la Bwana wetu Yesu lipate kutukuzwa ndani yenu, nanyi ndani yake, kulingana na neema ya Mungu wetu na Bwana Yesu Kristo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options