Skip to content
2 Wathesalonike 2:1-2

2 Wathesalonike 2:1-2

1
Ndugu, kuhusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanyika kwetu pamoja mbele zake, tunawasihi,
2
msiyumbishwe kwa urahisi wala msitiwe wasiwasi na roho wala neno au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu, isemayo kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options