Rukia maudhui
2 Samweli 12:13-14

Daudi Akiri Dhambi Yake

2 Samweli 12:13-14
13
Ndipo Daudi akamjibu Nathani, “Nimefanya dhambi dhidi ya Bwana.” Nathani akamjibu, “Bwana amekuondolea dhambi yako. Hutakufa.
14
Lakini kwa sababu kwa kufanya hili umefanya adui za Bwana kuonyesha dharau kabisa, mwana atakayezaliwa kwako atakufa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options