Rukia maudhui
2 Nyakati 8:17-18

Biashara ya baharini na utajiri

2 Nyakati 8:17-18
17
Ndipo Solomoni akaenda Esion-Geberi na Elathi katika pwani ya Edomu.
18
Naye Hiramu alimpelekea meli zilizoongozwa na maafisa wake mwenyewe, watu waliokuwa na ujuzi wa baharini. Hawa watu pamoja na wale wa Solomoni wakasafiri kwa bahari mpaka Ofiri, wakaleta kutoka huko talanta 450 za dhahabu, ambazo walimkabidhi Mfalme Solomoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options