Rukia maudhui
2 Nyakati 36:9-10

Yekonia na Kuhamishwa kwa Mara ya Pili

2 Nyakati 36:9-10
9
Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu na siku kumi. Akafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana.
10
Mnamo majira ya vuli, Mfalme Nebukadneza akatuma watu, nao wakamleta Babeli, pamoja na vyombo vya thamani kutoka Hekalu la Bwana. Naye akamfanya Sedekia, ndugu yake Yehoyakimu kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options