2 Nyakati 11:5-10
5
Rehoboamu akaishi Yerusalemu akajenga miji yenye ngome katika Yuda:
6
Akajenga Bethlehemu, Etamu, Tekoa,
7
Beth-Suri, Soko, Adulamu,
9
Adoraimu, Lakishi, Azeka,
10
Sora, Aiyaloni na Hebroni. Hii ndiyo iliyokuwa miji iliyojengewa ngome katika Yuda na Benyamini.