Rukia maudhui
1 Wakorintho 3:16-17

Jumuiya ni Hekalu la Mungu

1 Wakorintho 3:16-17
16
Je, hamjui ya kwamba ninyi wenyewe ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
17
Kama mtu yeyote akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza; kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, na ninyi ndiyo hilo hekalu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options