Rukia maudhui
1 Wakorintho 12:31

Wito wa Kutafuta Vipawa Vilivyo Bora

1 Wakorintho 12:31
Inaonyesha mstari 31 pamoja na muktadha unaouzunguka.
28
Mungu ameweka katika kanisa, kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu, kisha watenda miujiza, pia karama za kuponya, karama za kusaidiana, karama za uongozi, aina mbalimbali za lugha.
29
Je, wote ni mitume? Je, wote ni manabii? Je, wote ni walimu? Je, wote wanatenda miujiza?
30
Je, wote wana karama ya kuponya? Je, wote hunena kwa lugha mpya? Je, wote wanatafsiri?
31
Basi tamanini sana karama zilizo kuu. Nami nitawaonyesha njia iliyo bora zaidi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options