Skip to content
1 Nyakati 8:1-5

Wana wa karibu wa Benyamini

1 Nyakati 8:1-5
1
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4
Abishua, Naamani, Ahoa,
5
Gera, Shefufani na Huramu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options