Skip to content
1 Nyakati 7:30-36

1 Nyakati 7:30-36

30
Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
31
Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
32
Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
33
Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
34
Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
35
Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
36
Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options