Skip to content
1 Nyakati 4:28-37

1 Nyakati 4:28-37

28
Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,
29
Bilha, Esemu, Toladi,
30
Bethueli, Horma, Siklagi,
31
Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.
32
Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:
33
pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.
34
Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,
35
Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.
36
Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,
37
Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options