Skip to content
1 Nyakati 1:1-27

1 Nyakati 1:1-27

1
Adamu, Sethi, Enoshi,
2
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15
Wahivi, Waariki, Wasini,
16
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22
Obali, Abimaeli, Sheba,
23
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25
Eberi, Pelegi, Reu,
26
Serugi, Nahori, Tera,
27
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options