Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Zanoah: 1. A city of western Judah

3 mistari · 3 vipengele

Mistari kuhusu 1. A city of western Judah

  1. Zanoa, En-Ganimu, Tapua, Enamu,

  2. Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni na wakazi wa Zanoa. Walilijenga upya, na kuweka milango yake na makomeo na nondo mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu wa mita 450 hadi Lango la Samadi.

  3. Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.