Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Zacharias: 1. A man slain by the Jews, referred to by Jesus

2 mistari · 1 kipengele

Mistari kuhusu 1. A man slain by the Jews, referred to by Jesus

  1. Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Abeli, ambaye alikuwa hana hatia, hadi damu ya Zekaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu.

  2. tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zekaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Naam, nawaambia, kizazi hiki kitawajibika kwa haya yote.