Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Word

4 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Hapo mwanzo alikuwako Neno, huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

  2. Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli.

  3. Kwa maana wako watatu washuhudiao[ mbinguni: hao ni Baba, Neno na Roho Mtakatifu. Hawa watatu ni umoja.

  4. Amevaa joho lililochoviwa katika damu, na Jina lake ni “Neno la Mungu.”