Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Weeping: Penitential

2 mistari · 7 vipengele

Mistari kuhusu Penitential

  1. “Katika siku hizo, wakati huo,” asema Bwana, “watu wa Israeli pamoja na watu wa Yuda wataenda wakilia ili kumtafuta Bwana Mungu wao.

  2. “Hata sasa,” asema Bwana, “nirudieni kwa mioyo yenu yote, kwa kufunga, kwa kulia na kuomboleza.”