Mistari ya Biblia kuhusu Veil: 5. A facial covering:
Mistari kuhusu 5. A facial covering:
na akamuuliza yule mtumishi, “Ni nani mtu yule aliye kule shambani anayekuja kutulaki?” Yule mtumishi akajibu, “Huyu ndiye bwana wangu.” Hivyo Rebeka akachukua shela yake akajifunika.