Mistari ya Biblia kuhusu The Tribe Of Reuben: Cities built by
Mistari kuhusu Cities built by
Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya Heshboni, Eleale na Kiriathaimu,
pia Nebo na Baal-Meoni (majina ya hiyo miji yalibadilishwa) na Sibma. Miji waliyoijenga upya waliipa majina.