Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Tahath

5 mistari · 3 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.

  2. Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.

  3. Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.

  4. mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,

  5. Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,