Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Synagogues: A president or chief ruler

2 mistari · 27 vipengele

Mistari kuhusu A president or chief ruler

  1. Kiongozi wa hilo sinagogi, aliyeitwa Krispo, akamwamini Bwana, yeye pamoja na watu wote wa nyumbani mwake. Nao Wakorintho wengi waliomsikia Paulo pia wakaamini na kubatizwa.

  2. Ndipo wote wakamkamata Sosthene kiongozi wa sinagogi, wakampiga mbele ya mahakama, lakini Galio hakujali kitendo chao hata kidogo.