Mistari ya Biblia kuhusu Solomon's Porch: A part of the outer court of the temple.
Mistari kuhusu A part of the outer court of the temple.
Naye Yesu alikuwa akitembea ndani ya Hekalu katika ukumbi wa Solomoni.
Aliyeponywa alipokuwa akiambatana na Petro na Yohana, watu wote walishangaa mno, wakaja wakiwakimbilia pale ukumbi wa Solomoni.
Mitume wakafanya ishara nyingi na miujiza miongoni mwa watu. Walioamini wote walikuwa wakikusanyika katika ukumbi wa Solomoni.