Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Snow: In Palestine

1 mstari · 4 vipengele

Mistari kuhusu In Palestine

  1. Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba.