Mistari ya Biblia kuhusu Simeon: 5. A disciple, called also Niger
Mistari kuhusu 5. A disciple, called also Niger
Katika kanisa huko Antiokia ya Shamu walikuwako manabii na walimu, yaani: Barnaba, Simeoni aitwaye Nigeri, Lukio Mkirene, Manaeni aliyekuwa amelelewa pamoja na Mfalme Herode Agripa, na Sauli.