Mistari ya Biblia kuhusu Sihon: His seat of government at Heshbon
Mistari kuhusu His seat of government at Heshbon
Heshboni ulikuwa mji wa Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alikuwa amepigana dhidi ya mfalme wa Moabu aliyetangulia na akawa amechukua ardhi yake yote mpaka Arnoni.