Mistari ya Biblia kuhusu Seals: Restraint
Mistari kuhusu Restraint
Husema na jua, nalo likaacha kuangaza; naye huizima mianga ya nyota.
Ili wanadamu wote aliowaumba wapate kujua kazi zake, yeye humzuilia kila mtu shughuli zake.
Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi.