Mistari ya Biblia kuhusu Rehoboth: 3. The name given to a well dug by Isaac
Mistari kuhusu 3. The name given to a well dug by Isaac
Akaondoka huko, akachimba kisima kingine, wala hakuna yeyote aliyekigombania. Akakiita Rehobothi, akisema, “Sasa Bwana ametufanyia nafasi, nasi tutastawi katika nchi.”