Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Reconciliation: Between man and man

4 mistari · 3 vipengele

Mistari kuhusu Between man and man

  1. “Kwa hiyo, kama unatoa sadaka yako madhabahuni, ukakumbuka kuwa ndugu yako ana kitu dhidi yako,

  2. iache sadaka yako hapo mbele ya madhabahu. Enda kwanza ukapatane na ndugu yako; kisha urudi na ukatoe sadaka yako.

  3. “Patana na mshtaki wako upesi wakati uwapo njiani pamoja naye kwenda mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia mikononi mwa askari, nawe ukatupwa gerezani.

  4. Amin, nakuambia, hautatoka humo hadi uwe umelipa senti ya mwisho.