Mistari ya Biblia kuhusu Reaping: Fed by the master who himself presided at their meals
Mistari kuhusu Fed by the master who himself presided at their meals
Wakati wa chakula, Boazi akamwambia Ruthu, “Karibia hapa. Kula mkate na uchovye ndani ya siki.” Alipoketi pamoja na wavunaji, akampa nafaka zilizookwa. Akala kiasi alichotaka na kusaza.