Mistari ya Biblia kuhusu Ramoth-Gilead: A city of Gad, and a city of refuge
Mistari kuhusu A city of Gad, and a city of refuge
Miji hiyo ilikuwa: Bezeri katika tambarare ya jangwa kwa ajili ya Wareubeni; Ramothi katika nchi ya Gileadi kwa ajili ya Wagadi; nao mji wa Golani katika nchi ya Bashani kwa ajili ya Wamanase.
Katika upande wa mashariki mwa Yordani ya Yeriko wakatenga Bezeri katika jangwa katika uwanda wa juu katika kabila la Reubeni, Ramothi katika Gileadi katika kabila la Gadi, na Golani huko Bashani katika kabila la Manase.
Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,