Mistari ya Biblia kuhusu Raisin: Given by Abigail to David
Mistari kuhusu Given by Abigail to David
Abigaili akafanya haraka, akachukua mikate mia mbili, viriba viwili vya divai, kondoo watano waliochinjwa vipimo vitano vya bisi, vishada mia moja vya zabibu kavu, mikate mia mbili ya tini, akavipakia juu ya punda.