Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Rabbi: The title of a teacher

3 mistari · 6 vipengele

Mistari kuhusu The title of a teacher

  1. Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Rabi.’

  2. “Lakini ninyi msiitwe ‘Rabi,’ kwa sababu mnaye Bwana mmoja na ninyi nyote ni ndugu.

  3. Huyu alimjia Yesu usiku akamwambia, “Rabi, tunajua kuwa wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, kwa maana hakuna mtu awezaye kufanya miujiza hii uifanyayo wewe, kama Mungu hayuko pamoja naye.”