Mistari ya Biblia kuhusu Rabbi: The title of a teacher
Mistari kuhusu The title of a teacher
Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Rabi.’
“Lakini ninyi msiitwe ‘Rabi,’ kwa sababu mnaye Bwana mmoja na ninyi nyote ni ndugu.
Huyu alimjia Yesu usiku akamwambia, “Rabi, tunajua kuwa wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, kwa maana hakuna mtu awezaye kufanya miujiza hii uifanyayo wewe, kama Mungu hayuko pamoja naye.”