Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Pirathon

5 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.

  2. Ndipo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, naye akazikwa huko Pirathoni katika Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.

  3. Benaya Mpirathoni; Hidai kutoka mabonde ya Gaashi;

  4. Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini, Benaya Mpirathoni,

  5. Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.