Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Palace: For kings

5 mistari · 8 vipengele

Mistari kuhusu For kings

  1. Baada ya hayo, Nabothi, Myezreeli, alikuwa na shamba la mizabibu jirani na jumba la kifalme la Ahabu mfalme wa Samaria.

  2. Mmoja wa maafisa wake wakuu, Peka mwana wa Remalia, akafanya shauri baya dhidi yake. Akachukua watu hamsini wa Gileadi pamoja naye, akamuua Pekahia, pamoja na Argobu na Aria, katika ngome ya jumba la kifalme huko Samaria. Kwa hiyo Peka akamuua Pekahia, naye akaingia mahali pake kuwa mfalme.

  3. “Nitatia moto kuta za Dameski; utaangamiza ngome za Ben-Hadadi.”

  4. Nitatuma moto juu ya Temani ambao utateketeza ngome za Bosra.”

  5. Malango ya mto yamefunguliwa wazi, na jumba la kifalme limeanguka.