Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Nose

4 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe ndivyo alivyo mwanamke mzuri ambaye hana busara.

  2. pete zenye muhuri, pete za puani,

  3. nikaweka hazama puani mwako, vipuli masikioni mwako na taji nzuri sana kichwani mwako.

  4. Nitaelekeza wivu wa hasira yangu dhidi yako, nao watakushughulikia kwa hasira kali. Watakatilia mbali pua yako na masikio yako, na wale watakaosalia miongoni mwako watauawa kwa upanga. Watachukua wana wako na binti zako, na wale watakaosalia miongoni mwenu watateketezwa kwa moto.