Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Neariah

3 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.

  2. Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.

  3. Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.