Mistari ya Biblia kuhusu Natural Life: Sometimes prolonged, in answer to prayer
Mistari kuhusu Sometimes prolonged, in answer to prayer
Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana:
“Ee Bwana, kumbuka jinsi nilivyoenenda mbele zako kwa uaminifu na kujitoa kwa moyo wangu wote, na kufanya yaliyo mema machoni pako.” Naye Hezekia akalia kwa uchungu.
Ndipo neno la Bwana likamjia Isaya, kusema:
“Nenda ukamwambie Hezekia, ‘Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa baba yako Daudi: Nimeyasikia maombi yako na nimeona machozi yako. Nitakuongezea miaka kumi na mitano katika maisha yako.