Mistari ya Biblia kuhusu Mount of Olives: East of Jerusalem. The highway to and from the east passed over it
Mistari kuhusu East of Jerusalem. The highway to and from the east passed over it
Bali Daudi akaendelea, akapanda Mlima wa Mizeituni, akaenda huku analia, akiwa amefunika kichwa chake na bila viatu miguuni. Watu wote waliokuwa pamoja naye nao wakafunika vichwa vyao, wakawa wanapanda mlima huku wanalia.