Mistari ya Biblia kuhusu Merari: Head of the Merarite Levites
Mistari kuhusu Head of the Merarite Levites
Haya yalikuwa majina ya wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.
Kwa Merari kulikuwa na koo za Wamahli na Wamushi; hizi zilikuwa koo za Merari.
Hesabu ya waume wote wenye umri wa mwaka mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 6,200.
Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kuweka kambi zao upande wa kaskazini mwa Maskani.