Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Kings

580 mistari · 175 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

Chuja kwa kitabu
  1. Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.

  2. Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.

  3. Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu, nami sitamdanganya Daudi:

  4. kwamba uzao wake utaendelea milele, na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;

  5. kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu angani.”